Shinto
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 1,781
- 96
Wandugu napenda kuulizia ilie swala la madiwani wa CDM Arusha kuingia muafaka na wenzao wa CCM, tuliambiwa Viongozi wakuu wa CDM waliunda tume kuchunguza kama kulikuwa na harufu ya rushwa.
Nina hakika tume ya Marando ilishakabidhi ripoti kwa Slaa, imeshawekwa public? Nini matokeo na upi uamuzi wa CDM makao makuu? wameamua kuubariki muafaka kimyakimya?
Nina hakika tume ya Marando ilishakabidhi ripoti kwa Slaa, imeshawekwa public? Nini matokeo na upi uamuzi wa CDM makao makuu? wameamua kuubariki muafaka kimyakimya?