siyo hivyo unajua nilivyo add kozi zile zote za mwanzo zilifutika so ikanibidi ni clear application nilivyoanza kujaza kozi upya ndo matatizo yako hapo kozi haziongezeki itanibidi ni apply mwakani
Jamani,mimi ndio nahisi kufa kufa,hadi kufikia jana nilikua nimeandkiwa eligible kwenye kozi 3 za udsm na 1 ya sua,ila leo nimekuta kozi moja ya udsm ambayo ni bcom-accountng nimeandikiwa not eligible,kila nkijarbu kuchange inakataa.nahisi kukata tamaa sana wakuu.
Thanks to god kama kawaida kozi zangu zote za mwanzo nime qualify..
hiv ukikuta zote ni not eligible halafu ukaacha hivyo hivyo bila kubadilisha itakuwaje?
matokeo yako ya form 6 yakoje?
hiv ukikuta zote ni not eligible halafu ukaacha hivyo hivyo bila kubadilisha itakuwaje?
three ya 14 pcm
Kozi yenye Not Eligble unaweza kubadili ?