Ardhi University(ARU) - Special Thread

vipi hii kozi inaitwa Geomatics hapo embu tufafanulie ikoje mkuu...

geomatics is one among the best courses offered at ardhi university.. msuli wake sio wa kitoto. kwa kweli no mgumu. lakini una matunda sana.. geomatics inahusu land surveying, upimaji wa ardhi. inadili sana.. kuanzia chuoni utaanza kupata pata vidili vya watu wanaotaka kupimiwa vipande vyao vya ardhi.. kutafuta hati... au kulocate tu shamba lake au kiwanja chake kujua kina ukubwa gani na features zilizomo.. pia kwenye ujenzi wa projects kama barabara,reli, majengo wakati mwingine, waliosoma geomatics wanahusika sana kulocate na kushauri wakati wa kudesign.. advantage ingine ya hii course ni kua ni rahisi kujiairi. capital yako iko kichwani mwako sana sana.. ukimfanyia mteja mmoja kazi nzuri kesho atakutangaza kwa ndugu zake.. hivyo hivyo your network grows. ni uaminifu tu unaohitajika. hayo ni yangu tu mkuu. i hope nitakua nimekupa mwanga kidogo japokua mimi sio surveyor but i have a lot of friends ambao ni masurveyor
 
mwambie akasome tuh ipo poa ila ukitaka kozi ya ajira moja kwa moja bongo zipo mbili tu ualimu na udaktari..
 
geomatics is one among the best courses offered at ardhi university.. msuli wake sio wa kitoto. kwa kweli no mgumu. lakini una matunda sana.. geomatics inahusu land surveying, upimaji wa ardhi. inadili sana.. kuanzia chuoni utaanza kupata pata vidili vya watu wanaotaka kupimiwa vipande vyao vya ardhi.. kutafuta hati... au kulocate tu shamba lake au kiwanja chake kujua kina ukubwa gani na features zilizomo.. pia kwenye ujenzi wa projects kama barabara,reli, majengo wakati mwingine, waliosoma geomatics wanahusika sana kulocate na kushauri wakati wa kudesign.. advantage ingine ya hii course ni kua ni rahisi kujiairi. capital yako iko kichwani mwako sana sana.. ukimfanyia mteja mmoja kazi nzuri kesho atakutangaza kwa ndugu zake.. hivyo hivyo your network grows. ni uaminifu tu unaohitajika. hayo ni yangu tu mkuu. i hope nitakua nimekupa mwanga kidogo japokua mimi sio surveyor but i have a lot of friends ambao ni masurveyor

Umetisha Mkuu Safi sana big up...
 
Dogo langu kasoma egm anataka aisome iyo course naombeni ushauri wenu

building economics... one of the best courses kwenye ujenzi.... kama una malengo ya kumaliza chuo na kuajiriwa acha.. usisome hii course kabisaaa... utaishia kulipwa laki 5 mpaka 8.... lakini kama una malengo ya kumaliza chuo na kujiajiri kwenye construction indistry... this is the course to study... quantity surveyors wanasoma vitu vingi sana.. including HOW TO SAVE COST IN CONSTRUCTION, which is a biig problem kwa watanzania wengi. sasa hapa ndipo unapopiga mpunga.
 
mtu alie pata C nne olevel ikiwemo ya math, na six akapata s 3 na C moja ya account, then akasoma dploma ya account TIA na kupata GP ya 3.8! je anaweza kusoma account hapo?
 
mtu alie pata C nne olevel ikiwemo ya math, na six akapata s 3 na C moja ya account, then akasoma dploma ya account TIA na kupata GP ya 3.8! je anaweza kusoma account hapo?
Jamani hakuna somo linaitwa Account. Kuna Accountancy ndilo somo au fani. Account unaifungua benki kutunzia pesa yako au kwa mtoa huduma nayekuhudumia kwa mkopo.
 
wadogo zangu mnaopenda kujiunga na chuo hiki nawakarbshen sana waweza kuniuliza swali lolote kuhusu chuo chetu utajibiwa bila shaka KARBUN CHUO KIKUU ARDHI DAR ES SALAAM

Wewe ni nani hapo ARU?

Ni nani aliyekuambia kila mtu ni mdogo wako?

Swali langu: Mna courses za Masters ngapi? Majina ya hizo courses, gharama zake?
 
Wewe ni nani hapo ARU?

Ni nani aliyekuambia kila mtu ni mdogo wako?

Swali langu: Mna courses za Masters ngapi? Majina ya hizo courses, gharama zake?

Ingia aru.ac.tz utapata jibu la swali lako,nakwa ufupi course za master zipo nyingi inategemea na wewe unataka nini,lakini na kuna mpaka doctor of philosophy,so ni wewe mwenyewe tu
 
Back
Top Bottom