ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,019
- 7,223
Ninachoweza kusema ni kwamba ningekuwa mimi niko katika situation kama yako ningechagua architecture. Sababu ni kwamba its so easy kujiajiri kwa architecture na unafanya kazi bila vumbi na malipo mazuri. ramani ya ghorofa one floor la makazi wanacharge mil. 1. Kuchora wanatumia less than 3 hours na kazi ni kwa computer tu! Isnt that amazing?!!!
Wakati mwingine wanatumia kazi za zamani kufix wateja wapya so haichukui hata one hour mtu anaingiza milioni...
Wakati mwingine wanatumia kazi za zamani kufix wateja wapya so haichukui hata one hour mtu anaingiza milioni...