Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,674
Bishanga tu-assume kwamba hili neno sio la kihaya.......manake mmmmhh??? Lol
Last edited by a moderator:
Bishanga tu-assume kwamba hili neno sio la kihaya.......manake mmmmhh??? Lol
wee jilipue tu uwaeleze manake kwa kihaya.
wee jilipue tu uwaeleze manake kwa kihaya.
makubwa! mpaka Kipipi ana delete post!
heheh.....unataka wenye jiji lao, kina Erick wanitumbue nyongo eeh?? But hata hivyo ni tusi kama KOKUTONA alivyosema, watanyambulisha wenyewe wapate jibu! Alafu we Bishanga......kwani we huwezi kusema?
heheh.....unataka wenye jiji lao, kina Erick wanitumbue nyongo eeh?? But hata hivyo ni tusi kama KOKUTONA alivyosema, watanyambulisha wenyewe wapate jibu! Alafu we Bishanga......kwani we huwezi kusema?
King"anganizi wewe Bishanga? Lol
mimi nakuogopa wewe na Kokutona,lol,nianzeje kutafasiri na uzee huu?