Kizibo
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 3,872
- 8,385
Heshima kwenu wakuu.
Kuna mama /dada ni mjamzito. Sio ujauzito wake wa mara ya kwanza.
Anapitia changamoto hizi.
★Tumbo kuuma chini ya kitovu, linauma baadae linaachia lenyewe na kujirudia rudia.
★ Kichwa kuuma mara kwa mara.
★ Kuhisi baridi sana mara kwa mara.
★ Kuhisi kizunguzungu
Watalaamu wa afya na wakubwa (mna uzoefu) naomba kufahamu nini hasa chanzo cha haya matatizo kwa mjamzito??
Je, ni hali ya kawaida, yaani huwatokea wajawazito wengine??
Je, suluhisho ni nini??
NB: Hajaanza kliniki na hajaenda hospitali kufanyiwa check up.
ASANTENI SANA NA MBARIKIWE SANA.
Kuna mama /dada ni mjamzito. Sio ujauzito wake wa mara ya kwanza.
Anapitia changamoto hizi.
★Tumbo kuuma chini ya kitovu, linauma baadae linaachia lenyewe na kujirudia rudia.
★ Kichwa kuuma mara kwa mara.
★ Kuhisi baridi sana mara kwa mara.
★ Kuhisi kizunguzungu
Watalaamu wa afya na wakubwa (mna uzoefu) naomba kufahamu nini hasa chanzo cha haya matatizo kwa mjamzito??
Je, ni hali ya kawaida, yaani huwatokea wajawazito wengine??
Je, suluhisho ni nini??
NB: Hajaanza kliniki na hajaenda hospitali kufanyiwa check up.
ASANTENI SANA NA MBARIKIWE SANA.