Rich Woman
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 858
- 542
Dah! ngoja tu nikuulize wewe mleta mada, katika pitapita zako hukuwahi hata siku moja kwenda nyumba za ibada na kuombewa????
Maana kwa imani niiaminiyo, mtu amtegemeaye mwanadamu huwa laana I juu yake.
kabisa amelaaniwa amgeuzaye mwanadamu kuwa kinga yake