mmmh haya matusi ndugu yangu mbona balaa
lugha chafu mno...............angejaribu ku edit kidogo ili ipatwe kupigwa katika redio nyengine.
Ebana kuna mstari mmoja amemtaja mtangaziji mmoja wa hiyo redio eti anasambaza ngoma mitaani.
Mh! lisemwalo lipo kama halipo.....
Ebana kuna mstari mmoja amemtaja mtangaziji mmoja wa hiyo redio eti anasambaza ngoma mitaani.
Mh! lisemwalo lipo kama halipo.....
naamini hapa ni nyumbani kwa watu wanaoaminika kwa kuchambua na kudadafua isues mbalimbali, em tuusikilize huu wimbo kama ulivyo then tuuchambue, je ni kitu gani kimetokea mpaka king wa hii fani ya rap akaamua kuwatungia wimbo?? je yaliyomo huko ni kweli?? najua watu kama kina nguli wakali wa mistari watachangia ipasavyo...halllah...
Antivirus ya wezi wetu yaja!
Mkongwe wa Bongo Hip Hop, Joseph Mbilinyi 'Mr. II' a.k.a 'Sugu' amewakusanya masela kibao kunako anga za muziki huu na kuanzisha very active project inayokwenda kwa jina la ANTIVIRUS.
Project hiyo inahusu mapinduzi, inanyoosha ukweli kwa vipimo vyake, inawagonga fatuma wezi wote waliohusika kuihujumu Bongo Fleva na inatangaza vita kwa yeyote mwenye shida ya ubaya dhidi ya wanamuziki wataka haki.
Kwa mujibu wa Sugu,Antivirus ni project ya mashambulizi mwanzo mwisho, itafanya kazi kwa mtindo wa mixtapes, yaani kurekodi nyimbo kwenye instruments maarufu za kiwanja, halafu ngoma zinawekwa pamoja halafu zinagawiwa bure kwa Watanzania. Kila msanii ataimba topic yake kuhusu Antivirus, yaani atagonga jiwe lake kwa kutaja majina wahusika wa unyonyaji wa muziki wetu.
Watu ambao wanaua muziki. Tunagawa bure ili kutaka ujumbe ufike kwa Watanzania, ......Ni bure na kazi yote itasajiliwa COSOTA kwamba haiuzwi. Mtu anaruhusiwa kutoa nakala na kumpa mwenzake. Itatoka Antivirus part I mpaka kumi kisha itakuja Antivirus Vol II. Wasanii wapo wengi na toleo la kwanza litakuwa na nyimbo 16.
Baadhi ya Ma-Lijendari watakaokuwemo kwenye project hiyo ni Godfrey Tumaini Dudubaya, Suleiman Msindi Afande Sele, G Solo na wengine kibaoooooooo.
Ndio Gang Star Music au?? Ujumbe unaeleweka... lakini kwa matusi na vitisho hivyo sidhani hata kama hiyo Vol. II itatoka...
Namtakia kila la kheri