duuuh kweli balaa, basi kama ndo hivyo manake ni kwamba ameamua kuliweka wazi ili wadau wengine tulisikie, so tht means alidhulumiwa na wamiliki wa clouds au serikali?
Ila maneno mengi aliyoyataja humo yanakaribia ukweli, mimi huwa sipendi zile isue za matusi wanazotangazaga as if ile redio inasikilizwa na wahuni tu, hizo zakuujipendekeza kwa chama cha siasa na zenyewe inaweza kuthibitika coz mata kibao tu rahisi rahisi hahahhahahah ila jamaa amepangilia mistari kinyama na hilo beat ndo balaa....
Hii ina ukweli nini maana kuna habari kuwa yeye na Gerald Hando wana Ngoma long time hata afrya zao zinaonyesha zimezorota sana...Kuna maneno ambayo yanagusa sana hapa moja kwa moja:
- Machoko maghorofani
- Mbona mna wachapa nao na kuwapa mimba
- Wanawapa mimba
- Kibonde anatukana watu hovyo redion, hana akili kichwani, ana sambaza "ngoma" makusudi mtaani.
- Kujipendekeza kwa Rais
- Redio imejaaa mashoga
- Watangazaji wanaliwa kama mboga
- Watangazaji "under paid"
- Kuwabana machizi, machizi hawana njaaa kuliko ninyi..
Kuna maneno ambayo yanagusa sana hapa moja kwa moja:
- Machoko maghorofani
- Mbona mna wachapa nao na kuwapa mimba
- Wanawapa mimba
- Kibonde anatukana watu hovyo redion, hana akili kichwani, ana sambaza "ngoma" makusudi mtaani.
- Kujipendekeza kwa Rais
- Redio imejaaa mashoga
- Watangazaji wanaliwa kama mboga
- Watangazaji "under paid"
- Kuwabana machizi, machizi hawana njaaa kuliko ninyi..
Hii ina ukweli nini maana kuna habari kuwa yeye na Ferald Hando wana Ngoma long time hata afrya zao zinaonyesha zimezorota sana...
Mcheck Gerald Hando hapo afya mgogo.... Kibonde nae afya yake ni ya kuunga unga
could mr sugu be referring to the station and its officers or rather a mere artistic piece of work? tunaruhusiwa kutafsiri tunavyoweza lakin kushambulia personality ya mtu si uungwana. hapa jf pawe pahala pa great thinkers kweli, sio pa kulipizana visasi. remember; poor minded people discuss people...great thinkers discuss ideas and concepts.