MTENDAHAKI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,013
- 1,443
Bado naamini mama Ane Kilango ni Mpiganaji!Mpk nione zaidi ya ukimya huu ndio nitabadili msimamoKatika hali ya kustaajabisha Mbunge machachari wa CCM amekua bubu ghafla kwenye hoja ya kuwajibisha mawaziri wabadirifu kwa kutokoenekana katika mijadala hata ya kuweka saini kama kweli alikosa nafasi ya kuongea. Je ni kweli mbunge huyu yupo tayari kumvisha Paka kengele au yupo tayari kutetea Paka asivikwe Kengele.Tuaomba afunguke kama kweli yupo na dhamira ya dhati ya kupambana na Mafisadi... Msimamo wake upo wapi...Same Mashariki tunasubiri sauti yetu kupitia wewe....