Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,832
- 16,685
Tz si ya kurisishana, baba hadi mtoto.... Don't even think again to engage in politics, nimekuona, do other stuffs don't waste ur time, hufai... Huna mvuto kwa watu kisiasa kabisaaa.... I advice u do wrestling.... like Kumaga or Big Show.... utangaaa
- Sarakasi za Dodoma hazikuwa sawa na kuvuka Bermuda Triangle, tena mara tatu nikiwa Baharia, nimeingia siasa za bongo in only three months, nimeweza kufika hatua ya mwisho kitu ambacho wengi waliokuwepo kabla yangu wameshindwa, so tupo kwenye the right track na subira huwa inavuta heri.
- Somo kuhusu mama naona limeeleweka sana sina sababu ya kulirudia tena, saa ya kulala sasa unajua tena mkuu wangus!
Willie @DSM City!