Angelina Jolie aanza kusumbuliwa na Mama wa mtoto aliyemuasili

Malezi na ukaribu ndio hutengeneza chemistry baina ya watu hasa mtoto na mzazi.

Kinyume na hapo ni uongo.

Mtoto ameshatengeneza chemistry na huyo mzungu,huyo mama hawezi kumata tena kwa mtoto.

Mtoto ana observe kila kitu tokea yuko mdogo,namna unavyomlea na kumtunza na kujitoa kwa ajili yake anaathirika na kukuona wewe ndio mtu.

Mama wa ethiopia awe mpole kabisa kwa sababu yeye ndio alidanganya.

I hope dada anjela atamfikiria hawezi kosa hata dola 2000$ za kumpa ya chai 🤔🤔😃😃😃
 
Malezi na ukaribu ndio hutengeneza chemistry baina ya watu hasa mtoto na mzazi.

Kinyume na hapo ni uongo.

Mtoto ameshatengeneza chemistry na huyo mzungu,huyo mama hawezi kumata tena kwa mtoto.

Mtoto ana observe kila kitu tokea yuko mdogo,namna unavyomlea na kumtunza na kujitoa kwa ajili yake anaathirika na kukuona wewe ndio mtu.

Mama wa ethiopia awe mpole kabisa kwa sababu yeye ndio alidanganya.

I hope dada anjela atamfikiria hawezi kosa hata dola 2000$ za kumpa ya chai 🤔🤔😃😃😃
Uache ma pizza kapiyoka ukimbilie magimbi 🤣??? Tikeno muskino tacos, Chicken papurica ukimbilie dona migebuka?
 
Habari za wakati huu wa dau wa jukwaa hili.

Nilikua napitia katika mitandao ya kijamii, nikakutana na hii habari ya huyu mlimbwende Angelina Jolie.
Ya kwamba aliadopt watoto, mmoja wapo anatokea Ethiopia anaitwa Zahara, tangu kakiwa kachanga kabisa kama miezi mitano hivi.

So hiyo tu na watoto wengine pia kama watu hivi, kuna wa kiume mwenye asili ya Asia na Kuna mwingine mzungu.

Na amekua akiwatunza mpaka Sasa, kasheshe inakuja Kwa huyu Binti Toka Ethiopia, kwamba kashakua mzuri na mama yake anaanza kuleta longolongo kuhusu mwanawe, wakati Angelina Jolie alimchukua kama orphan yaani yatima.

Anyway sijui itaishia wapi.

Kwa anaefahamu au mwenye kujua zaidi tujadili japo kidogo,

1. Hivi sisi wabongo tunaweza fanya hiki alichofanya huyu Angelina Jolie? Jinsi tulivyo na miroho yetu ilivyo mibaya?

2. Sisi blacks mbona tunajidhalilisha sana, Kwa mfano huyu mama wa Zahara Binti wa Angelina Jolie,? Leo ndo anamuona mzuri? Zahara kanoga, kapendeza, na anafaa kabisa Kwa matumizi ya binadamu(Kwa sisi wanaume tu).

3 Binafsi nampongeza sana huyu Angelina Jolie Kwa alichokifanya kuadopt hao watoto, ningekua na uwezo Ile wa uumbaji basi huyu Pepo inamuhusu kabisa.

kibaya zaidi ni kwamba huyo binti hata kama anajua kuwa huyo mzungu sio mamake kiukweli, amekuwa akiamini jolie ni mamake na anampenda huyo kuliko mamake wa kuzaa.
 
Umaskini hauna adabu kiranga. Mimi simlaumu mama yake kwa kumtelekeza kwa bibi.
Na Ethiopia kuna dhiki kali hakuna mfano.
Nimekumbuka kuna binti wa kihabeshi alikua mzuri mithili ya ajabu..alikua anabembeleza aolewe na ndugu yangu apate kubaki bongo akimbie dhiki za kwao. Noma sana haya maisha.
Mimi simlaumu huyo mama kwa kumtelekeza mtoto, namlaumu kwa kuwa kigeugeu.

Kama umeamua kumtelekeza mtoto, mtelekeze kimoja.

Siyo unamtelekeza halafu baadaye unamtafuta.
 
Back
Top Bottom