myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 149,422
- 662,625
🤣🤣🤣🤣 Aje bongo kama hawaja mu"adopt" chap......Ni kama wameshakutanishwa,
Huyo mama anatamani naye akawe adopted, njaa mbaya.
🤣🤣🤣🤣 Aje bongo kama hawaja mu"adopt" chap......Ni kama wameshakutanishwa,
Huyo mama anatamani naye akawe adopted, njaa mbaya.
Tukifanyaga sisi mnatuona wendawazimu... Oh mtoto kakuwa ndio unajileta leta 🤣🤣🤣Wanamchanganya mtoto tu, na Angelina naye hawajamfanyia haki.
This is very selfish.
Ukishakubali kumtupa mtoto wako, umeshakubali, usitake tamaa za kuona mtoto kakua ukataka kuongea naye.
Very selfish mother.
Uache ma pizza kapiyoka ukimbilie magimbi 🤣??? Tikeno muskino tacos, Chicken papurica ukimbilie dona migebuka?Malezi na ukaribu ndio hutengeneza chemistry baina ya watu hasa mtoto na mzazi.
Kinyume na hapo ni uongo.
Mtoto ameshatengeneza chemistry na huyo mzungu,huyo mama hawezi kumata tena kwa mtoto.
Mtoto ana observe kila kitu tokea yuko mdogo,namna unavyomlea na kumtunza na kujitoa kwa ajili yake anaathirika na kukuona wewe ndio mtu.
Mama wa ethiopia awe mpole kabisa kwa sababu yeye ndio alidanganya.
I hope dada anjela atamfikiria hawezi kosa hata dola 2000$ za kumpa ya chai 🤔🤔😃😃😃
Ndiyo Cuzoo...Boss Mond au?
🤣🤣🤣🤣Nimechekaa sana Cuzo, hii Dunia au tuimarinate na tangawizi Nini mbona ngumu hivi???Ndiyo Cuzoo...
Sasa hivi Anamuita Mond Daddy na Zuch ni Mumy
Hii Dunia ni ngumu sana Wallah...
Mkuu za asbuhi, duhhhMama nae kisu sema matunzo tuu
Mashine ndio inatakiwa iwe kinanda bruhTatizo tako ubapa. Tarltizo tayari
Safi tu bruhMkuu za asbuhi, duhhh
Amekulia maisha ya bata toka anajitambua.Zahara mwenyewe hawezi kukubali kurudi Ethiopia vile huwa ana roll na mama yake kwenye ma red carpet...
Sawa....nikupe connection ya hyo mama ? Maana naona umemuelewaSafi tu bruh
kibaya zaidi ni kwamba huyo binti hata kama anajua kuwa huyo mzungu sio mamake kiukweli, amekuwa akiamini jolie ni mamake na anampenda huyo kuliko mamake wa kuzaa.Habari za wakati huu wa dau wa jukwaa hili.
Nilikua napitia katika mitandao ya kijamii, nikakutana na hii habari ya huyu mlimbwende Angelina Jolie.
Ya kwamba aliadopt watoto, mmoja wapo anatokea Ethiopia anaitwa Zahara, tangu kakiwa kachanga kabisa kama miezi mitano hivi.
So hiyo tu na watoto wengine pia kama watu hivi, kuna wa kiume mwenye asili ya Asia na Kuna mwingine mzungu.
Na amekua akiwatunza mpaka Sasa, kasheshe inakuja Kwa huyu Binti Toka Ethiopia, kwamba kashakua mzuri na mama yake anaanza kuleta longolongo kuhusu mwanawe, wakati Angelina Jolie alimchukua kama orphan yaani yatima.
Anyway sijui itaishia wapi.
Kwa anaefahamu au mwenye kujua zaidi tujadili japo kidogo,
1. Hivi sisi wabongo tunaweza fanya hiki alichofanya huyu Angelina Jolie? Jinsi tulivyo na miroho yetu ilivyo mibaya?
2. Sisi blacks mbona tunajidhalilisha sana, Kwa mfano huyu mama wa Zahara Binti wa Angelina Jolie,? Leo ndo anamuona mzuri? Zahara kanoga, kapendeza, na anafaa kabisa Kwa matumizi ya binadamu(Kwa sisi wanaume tu).
3 Binafsi nampongeza sana huyu Angelina Jolie Kwa alichokifanya kuadopt hao watoto, ningekua na uwezo Ile wa uumbaji basi huyu Pepo inamuhusu kabisa.
Mimi simlaumu huyo mama kwa kumtelekeza mtoto, namlaumu kwa kuwa kigeugeu.Umaskini hauna adabu kiranga. Mimi simlaumu mama yake kwa kumtelekeza kwa bibi.
Na Ethiopia kuna dhiki kali hakuna mfano.
Nimekumbuka kuna binti wa kihabeshi alikua mzuri mithili ya ajabu..alikua anabembeleza aolewe na ndugu yangu apate kubaki bongo akimbie dhiki za kwao. Noma sana haya maisha.
Yap kama utaweza kumsogeza hadi stendi ya magufuli itakuwa poaSawa....nikupe connection ya hyo mama ? Maana naona umemuelewa
Kabisa, umaskini tuupinge kwa nguvu zoteSanaaa,
Umaskini hatutakiwi kabisa kuukumbatia
Mkuu hutaki kuwa mtoto ana adabu, upole na utu! Kifupi Dr. Mariposa hao ni majirani zakeDah kweli wabongo wape picha tu. Caption watamaliza wao.
Mtoto kashajikulia Kinyamwezi huko halafu unamletea gozigozi, wakati alipokuhitaji hukuwepo.Tukifanyaga sisi mnatuona wendawazimu... Oh mtoto kakuwa ndio unajileta leta 🤣🤣🤣
unafanya mchezo na damu yakoMimi simlaumu huyo mama kwa kumtelekeza mtoto, namlaumu kwa kuwa kigeugeu.
Kama umeamua kumtelekeza mtoto, mtelekeze kimoja.
Siyo unamtelekeza halafu baadaye unamtafuta.