Kama huruhusu flash, external na storage device nyengine kuchomekwa kwenye pc yako na browser ukaieka adblock basi una survive bila ant virus. Mimi nina miaka sasa bila ant virus. Na kama unatumia windows 10 au 8 ndio kabisaa kupata virusi ni vigumu sana.
Unless una biashara au sensitive documents then itabidi ueke ant virusi kama kaspersky
Bitdefender no1
Vipi mkuu kwa tunao tumia ESET
Bitdefender no1