Mufiyakicheko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 892
- 86
mm hii imenpigia nlipopokea kaongea mzungu hela yote yangu ikakataaaaa damn it +447782333123
Mkuu nyingine +37181052271
Tatizo matomatho mupo wengi munashinda jamiiforums bado munaibiwa
mm hii imenpigia nlipopokea kaongea mzungu hela yote yangu ikakataaaaa damn it +447782333123
Mkuu nyingine +37181052271
Tatizo matomatho mupo wengi munashinda jamiiforums bado munaibiwa
Kaka ilinipigia yenyewe... Mm cja jarbu hata kupga
Mkuu nyingine +37181052271
KAKA NA MIMI LEO 01/10/2012. Namba +37181052271
IMENIPIGIA ILA SIKUPOKEA. Vp wewe nini kilitokea. Nimeigoogle ndo nkaona Jf.
ANY IDEAS.
Mkuu nyingine +37181052271
KAKA NA MIMI LEO 01/10/2012. Namba +37181052271
IMENIPIGIA ILA SIKUPOKEA. Vp wewe nini kilitokea. Nimeigoogle ndo nkaona Jf.
ANY IDEAS.
dah... Shukuru hapo! Maana ungekuwa victim wao fasta, ni namba za hackers hizi
Mkuu nyingine +37181052271
KAKA NA MIMI LEO 01/10/2012. Namba +37181052271
IMENIPIGIA ILA SIKUPOKEA. Vp wewe nini kilitokea. Nimeigoogle ndo nkaona Jf.
ANY IDEAS.
namimi sasa hivi mkuu wamenibeep,wamepata wapi number zetu.
Kiteknolojia sio rahisi watoa huduma kutambua kila namba ya simu, imagine mtu analipa internet call service kama net2call ambayo inampa option kuchagua namba yoyote anayotaka ionekane kwa anaowapigia halafu anaanza kupiga simu kwa watu kupitia internet
Sio rahisi service provider yoyote kujua hiyo namba ya nani na anapiga toka wapi, anweza kua Dar lakini namba yake inaanzia na +44. Its technological disaster
Only thing ni kuwa sio rahisi kutoa au kuiba hela iliyo kwenye simu yako kama ambavyo wengi wanajaribu kuamini hapa, wizi upo but its in other way round sio rahisi in such a way
Sirekebishi kauli........wewe inaonyesha huishi Tanzania.....ujue twende General kwenye hili......unapopiga cm Customer Care, huwa kuna idara....za huduma....in this case wahusika wa idara husika lazima wawe ni wajuzi wa jambo husika.
Mfano" niliwahi kujiunga Tigo post paid...., nikatumiwa Link kwa ajili ya kulog in, nikapewa username & PW....lakini nilipojaribu kulog in ikagoma, nikapiga idara husika.....unajua waliniambiaje...(hii ni baada ya kuitana kwa muda mrefu na kuulizana" wakaniambia HAWAJUI HIYO Link ni ya nini""" wao ndo walinitumia...lakini hawajui ni ya nini?? Nikawauliza kama kuna huduma wanayo ambayo ninaweza kuangalia matumizi yangu online....badala ya kuniambia aidha haipo au ipo...mpokeaji aliniambia HAJUI ( suala hapa....kama kweli unafanya kazi Kampuni/Idara husika....na uko makini Siyo Kihiyo) kujua aidha huduma iyo ipo au la.....nafikiri ni kitu muhimu kwa kuwa ndo kazi yako, sasa kama umewekwa tu huwezi fuatilia, na sio rahisi kwa ambaye sio kihiyo kusema SIJUI, kwa jambo dogo kama hilo.
Yapo mengi mzee ila nisije nikajaza sever ya JF.
Hapa ukiiyo ninaozungumza....ni kitendo ya mfanyakazi kuweza kufanya maamuzi kulingana na idara aliyopewa, na uwezo wa kutambua changes zilizopo katika idara husika, kwa kuwa shuguli yake ni kuudumia wateja.....then ni JUKUMU LAKE KWA UHARAKA kufuatilia na kujua changes ili wateja wahudumiwe katika muda.
Kutojua au kutofuatilia...ndo ukihiyo wenyewe, kwa kuwa mtu amewekwa ni vigumu kujua majukumu yake kaka
Pia fuatilia...kuna cku niliweka sh 1,300 kwenye cm yng...nikaongea kwa dk takriban 4:57, salio nikaangalia, limebaki Tzs 7/= nikapiga cm CC, yeye akaniambia hajui ni kwa nini imebaki hvyo...ni baada ya kumuuliza 1sec costs 1tzs + VAT 18%, how comes takribani sec 300 + VAT, zikala 1293???.
Kukosa jibu (tena kwa Customer Care) kwa suala kama ilo ni ukihiyo maana umeweka idara husika, alafu unakosa majibu husika, wewe sio kihiyo ni nini??
Piga cm Customer Care, upande wa internet settings, wapo (wanaoweza) ila siku mungu akikudondoshea kwa muhusika utaona vituko mzee.......nilishaona vituko/na kusikia kwenye hizi CC
Unless otherwise nawe uwe kwenye idara hizi....huwezi kuona mapungufu kwa kuwa nawe uko ndani.
Nawasilisha