mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
Nyumba au banda hilo, duuuh shida tupu
Ukiwaona walivyochomekea mtaani,wanachukua hata mtoto makini kama wewe!
Nyumba au banda hilo, duuuh shida tupu
halafu bado wana ujasiri wa kuwaua kwa risasi walalahoi wenzao,..hali mbaya kwa hawa watu.
Ni kweli kabisa Polisi wa Tanzania hawathaminiwi,
Mshahara mdogo, makazi duni, hakuna pa kusemea
Unyanyasaji ni mahali pake, ubinafsi na upendeleo ktk kupandishana vyeo
polisi wetu wanateseka sana