- Thread starter
- #161
Kila ninapomaliza kumwosha nguruwe,Upofu kuweza kuwepo ni uthibitisho kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
Kila unaposema mimi ni kipofu, unathibitisha Mungu hayupo.
Unaelewa hilo?
Nikimwachia tu huyo anarudi matopeni kujichafua tena.
Ndipo ilipo tofauti kati ya Wana wa Nuru na Wana wa Giza.