I guarantee you soon hicho kiumbe tumboni kitam-modoa hiyo zana yake na kuiresize kwa meno!!! unadhani kinafurahi jamaa anavyokisokomeza sokomeza kila siku?...we subiri utaniamabia
Wengine duniani makabila au ukoo au mila... wakitenda hayo inaleta mabalaa mbali mbali hadi mwenye mimba atubu. Wakati mwingine mabaya yanakuwa yameshatokea au mwanamke lolote linamtokea baada ya kujifungua, au wengine hata kujifungua hawawezi hadi watubu ni mengi tu.
Ila huyo baada ya kuzaa sidhani kama atamtamani mkaka huyo tena...labda ny*ge za msimu kwake ndio kapata.
Inasikitisha sana.... Unaenda kumtongoza mjamzito!!!! Na mwanamke bila hata aibu u achepka na ujauzito??!!!! Binadamu sasa hvi tunamatendo ya ajabu na yakutisha mpaka shetan anaogopa na kushangaa....
Huyo mwanamke sie kabisaaaaaaaaaa,mie nnavyo chukia huo mchezo nikiwa na mimba ilobaki basi tuu,halafu huyo mwanamme haogopi tumbo lina tisha kama nini hamuonei huruma mama na mwenzie? haya anasiku yake na yeye atawacha maisha au hatoongea lilomkuta.
Ufusalorisation is a process where........ Nakuunga mkono hata mimi mwenyewe sina sifa za kumiliki bastola maana mtu kama huyu ukimkuta unamfanyaje au unipiga risasi kwenye pu.mbu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.