Anatembea na mke wa mtu, tena mjamzito wa miezi tisa

Kuna kitu hujakielewa kabisa

wanawake wajawazito they dont think straight

hormones zinabadilika na kuwabadili sana
kuna hadi 'kichaa cha mimba'
hivyo anaweza fanya lolote lile.....hupaswi kabisa kumlaumu huyo dada

sanasana labda huyo mwanaume
Nilikua sijalijua hili
 
Nilikua sijalijua hili

Wapo ambao hormones zinawafanya watamani sex kupita kiasi
wapo ambao kichaacha mimba kinaweza mfanya amchukie mumewe na kuamua 'kumkomoa'
au asitamani sex na mumewe kabisa...kuna a lot..kuhusu wanawake wajawazito

Anaweza hata kuamua afanye 'abortion' out of anger kwa mumewe
 
Wapo ambao hormones zinawafanya watamani sex kupita kiasi
wapo ambao kichaacha mimba kinaweza mfanya amchukie mumewe na kuamua 'kumkomoa'
au asitamani sex na mumewe kabisa...kuna a lot..kuhusu wanawake wajawazito

Anaweza hata kuamua afanye 'abortion' out of anger kwa mumewe

Are these facts or hearsays..?
 
Uzi huu unanikumbusha kisa cha mfanyakazi wa mortuary alivyokuwa na tabia ya kugegeda maiti za kike
 
Mke mwena atoka kwa mungu na tofauti yake kwa shetani.... Mwenye mke alibugi tangu siku ya kwanza aliyohisi kumpenda.
 
Aisee nimeamini kuwa uyaone, hili tukio linakinzana na ile tamaduni ya baadhi jamii za makabila ambazo zinaamini mke wake akiwa mjamzito ndio ànaenda mbali na nyumbani kwake kwa ajili ya shughuli za ufugaji,uvuvi,biashara ,n.k. Kumbe ukishakua na mke wako mjamzito usijione umemaliza kazi ukasema marijali wengi hawako interested kukupigia sound mke au mchumba wako.

Huyu jamaa alimtomtongoza huyu dada na mimba yake kubwa (tumbo linaonekana) ilikua kama na miezi minne hivi (deliberately) kama masihara vile akakubaliwa akala mzigo na hadi leo hii mimba inakaribia miezi tisa jamaa ana kula tu mzigo, tena muda mwingine anampigia simu jamaa kumuomba wakutane wafanye yao.

Nikajitahidi kumdadisi mshikaji, huyo mwanamke ana mume wake, pili mjamzito anapendea nini kwako huoni kama risk? Akanijibu kuwa "anafurahi mchezo wake anamridhisha kushinda mume wake." Na yeye kidume nikimuuliza unapendea nini anasema " temperature is high" na anaonekana yuko addicted tayari na wajawazito ameshaanza kusumbua na mtaa wa pili wajawazito wake za watu sema wanamchomolea.

Hadi naandika thread hii jamaa amepita na huyu dada anaenda "kula mzigo", nina wasiwasi huyu msichana anaweza hata akajifungulia gheto kwa mshikaji, nina maswali mengi sana kichwani sina majibu kiukweli inahitaji moyo wa kijasiri kwanza kumtongoza mjamzito pili kwa upande wa huyu mwanamke ana akili gani?

Is she animal? What are her expectations? Na sheria inasemaje ukiwakuta in action ukawaua kwa mfano? Au hata akifumaniwa akaachwa huyu mwanamke mtoto akija kuambiwa mama yako aliachana na baba yako kwa sababu hii.Jamani niacheni tu hivi hivi nisimiliki bastola nisije nikafanya "ufasorolisation".

Kwahaya tunayoyaona tutaoa kweli?����

Nawasilisha wakuu

Sasa sijui kimebaki kipi cha kunishangaza!
 
Hapo anakula pipi bila maganda hamna haja ya kuwa na wasiwasi wa mimba isiyotarajiwa, na kitu kibichi ambacho hakijanyolewa, na joto juu! ila asimletee mwanamke wa watu migonjwa ya zinaa ikaathiri na mtoto.
 
Mwache amsaidie kutanua njia. we unajua ile mishono haiponagi ile. ikifika kipindi cha baridi tu tayari. Hebu waache watanuane njia fanya yako.
 
Hapo anakula pipi bila maganda hamna haja ya kuwa na wasiwasi wa mimba isiyotarajiwa, na kitu kibichi ambacho hakijanyolewa, na joto juu! ila asimletee mwanamke wa watu migonjwa ya zinaa ikaathiri na mtoto.
we ni msichana au mvulana?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom