Mashart mtayaweza au mnaandika tuwalinzi mbioni kupoteza vibarua
Mkuu mimi sina hata kibandaMashart mtayaweza au mnaandika tu
Duuu watu washaamini kuwa kuna nguvu za giza hapo bora umewafungua macho mkuuHahaha nimeisoma hii habari nimegundua watu wanapenda sana kutunga vitu anyway tukio.hili limetokea iringa stand kwenye duka la mfanyabbiashara mmoja nanilikwepo eneo latukio kilichombana ni hizo nondo tu hamna kingine na akitolewa kwa ushirikiano wa raia na polisi kwa kuzikata hizo nondo thats. All