Anasa darini akijaribu kuiba Dukani

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,726
32,816
image.jpeg
image.jpeg


Huyu ni mwizi aliyenaswa na "sumaku ya asili" darini.

Hiyo miguu kwenye TV imenasa. Wamevuta Askari wanne haiajaachia.Wakamvutia kwa juu ya bati alikoingilia, akalalamika anadai msinivute kwa juu mnivutie kwa ndani(Yaani kuelekea chini )kwa juu mnavyonivuta kuna kitu dukani nacho kinanivuta nitafia hapa hapa jamani(huku akilia).

Baada ya polisi kushindwa kumchomoa wakamuomba mwenye duka tunaomba ukamtoe,maana kila Polisi wakimvuta na "sumaku ya asili" inavuta,ndo akavutwa na mwenye duka, akafanikiwa kutoka na kuchukuliwa na Polisi

Yaani ile "Law of gravitation" leo ime-fail,miguu ilinasa kwenye TV na mikono darini na huku akining'inia kama panga-boy.

Jamani Wakinga wa Kariakoo,hii Sayansi kwanini msimgawie na Magufuli ili wale wabishi wa kukwapua mali za umma nao wagande??
 
View attachment 325562 View attachment 325563


Ni kama sinema lakini ndio ukweli wenyewe!!Mambo ya Wakinga na "kinga" zao

Huyu ni mwizi aliyenaswa na "sumaku ya asili" darini.

Hiyo miguu kwenye TV imenasa. Wamevuta Askari wanne haiajaachia.Wakamvutia kwa juu ya bati alikoingilia, akalalamika anadai msinivute kwa juu mnivutie kwa ndani(Yaani kuelekea chini )kwa juu mnavyonivuta kuna kitu dukani nacho kinanivuta nitafia hapa hapa jamani(huku akilia).

Baada ya polisi kushindwa kumchomoa wakamuomba mwenye duka tunaomba ukamtoe,maana kila Polisi wakimvuta na "sumaku ya asili" inavuta,ndo akavutwa na mwenye duka, akafanikiwa kutoka na kuchukuliwa na Polisi

Yaani ile "Law of gravitation" leo ime-fail,miguu ilinasa kwenye TV na mikono darini na huku akining'inia kama panga-boy.

Jamani Wakinga wa Kariakoo,hii Sayansi kwanini msimgawie na Magufuli ili wale wabishi wa kukwapua mali za umma nao wagande??
Mbona kame wile anafanana na ''mkandamizaji''
 
Hahahaaaaaa! Kwamba msinivute kwa juu! Kuna kitu kinanivuta kwa
 
View attachment 325562 View attachment 325563

Huyu ni mwizi aliyenaswa na "sumaku ya asili" darini.

Jamani Wakinga wa Kariakoo,hii Sayansi kwanini msimgawie na Magufuli ili wale wabishi wa kukwapua mali za umma nao wagande??

Huyu Mkinga mwenye duka aajiriwe ka consultant au Mshauri Elekezi Wizara ya Mambo ya Ndani (Polize) au kule TPA asaidie serikali kukamata wezi hasa wa macontainer na mafisadi. Ni mtu muhimu sana nchi hii 2016.
 

Similar Discussions

10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom