bidam90
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 273
- 193
Habari wana jf natumai muwazima wa afya!!
Nimepigiwa simu na RADAR recruitment agency natakiwa kwenda kwenye usaili jumatatu!!
kuna yoyote aliewahi kufanya au alishawahi kuitwa kwenye usaili na hawa jamaa atupe uzoefu???
Msaada niliomba nafasi ya uhandisi wa mafuta na gesi (Petroleum engineer)
Nimepigiwa simu na RADAR recruitment agency natakiwa kwenda kwenye usaili jumatatu!!
kuna yoyote aliewahi kufanya au alishawahi kuitwa kwenye usaili na hawa jamaa atupe uzoefu???
Msaada niliomba nafasi ya uhandisi wa mafuta na gesi (Petroleum engineer)