BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
Na kweli aise watu wanakuja jukwaani kujifariji, hawatafuti ushauri wanakuja kuwapa sumu na wengine humu ili na wao wone wanawake wote wako hivo.Huo niujinga. Kma kwako wanakuendea vbaya usifikrie dunia nzima inawaendea vbaya. Niwanawake unaokutana nao ww ndowakuivo, tafuta njia nyingine yakijifarij