CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,254
- 12,872
- Thread starter
- #21
pole sweetheart! pole sana!
asante mpnz!
pole sweetheart! pole sana!
tafuta unga wa majani ya mlonge,
ukiwa unatumia walau kwa wiki mara mbili,
malaria utaisikia kwa watu tu.
..chemsha alovera (kama huna ni PM) changanya na mizizi ya mwarobaini...
gonga glass asubuhi na jioni...
mimi sijawahi kumeza dawa ya malaria ya hospital...zaidi nilimeza chlorokwin nikiwa darasa la saba.
NB:maji mengi yakunywa pia itakuepusha na malaria SUGU.
GWS my dia one!
pole mamiito kunywa maji mengi
tafuta unga wa majani ya mlonge,
ukiwa unatumia walau kwa wiki mara mbili,
malaria utaisikia kwa watu tu.
Chemsha majani ya muarubaini au aloevera.
Mwagia ndani ya beseni lenye majimoto mchemsho wako.
Tafuta shuka jeusi au la rangi(sio jeupe) jifunike nalo huku ukiwa umeinamia beseni hilo,kumbuka kuacha kinywa wazi ili mvuke upitie kinywani.
Na baada ya robo saa funua shuka kisha subiri dk 20 au 30 nenda kapime tena,
ukikutwa na maralia naacha udaktari.
Eversince i learn't that you are ill my Semegi i 've been prayin' for your speedy recovery!
I truly am lookin' your improvement bt my Shem yo just be care about dawa mbadala what you need ? Before swallow make shure abt side effect!
Coz various medics hizi kalikali ! Hu'attack hadi ki'zaygote!
Mi naogopa kukuelekeza nikajapata lawama!
Are sure huna kiji'zygote ?
au kamisi ''muhogo" huyuu..?
Pole sana charminglady. Imekuaje kaingia wakati ndio sasa halafu wewe unaugua? Hebu jaribu hio tiba mbadala ulopewa hapo juu ya kufukuzia.
asante mashostito beibe nasty & Fixed Point
Get well soon dear charminglady
mimi huwa nachanganya....nahisi inapiga mzigo fresh..
gonga hata iyo alovera it will help you...ukipata mwarobaini mia zaidi..
pole jaman!! kama ni ya mara kwa mara ukumbuke na kipimo kikubwa