wadau asanten kwa ushauri wenu, hapa nilipo nipo mbele ya glass ya shubiri/aloevera nikiitizama kwa macho ya huruma huku nikitamani ugeuke ladha usiwe mchungu kha! no option ngoja ninywe tu. . .
Mpendwa dawa nyingi zimebaki majina ya biashara tu. jaribu kumeza mseto then ufuate muda wa kumeza halaf after one week ukapime tena baada ya hapo uende pharmacy kubwa wakupe ant malaria tablets utakaa zaidi ya mwaka bila kuonana na malaria. get w.s
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.