Nemo
JF-Expert Member
- Feb 22, 2011
- 751
- 1,331
- Thread starter
- #61
Yawezekana naye anajiuliza maswali kama hayo! Binafsi nakubaliana na mwali, unaposema itakukost bado nakataa, using'ang'anie harusi ya gharama kubwa!
Ninaweza
Cost ninayoongelea sio ya harusi my dear.Ni ya safari ya kutoka huku niliko kuja tanzania and then kurudi back. Ila ahsante. I do hear, what everyone is saying, so I will have to rething my position in all of this