Sabung'ori
JF-Expert Member
- Jul 19, 2011
- 2,166
- 1,247
...kama aliambiwa asipite hapo lakini akakaidi na kujiona yeye ni mwamba,basi naapigwe tu kwa maana hakuna namna nyingine...
Mi nasema apigwe tu, uhuni umeifanya ARUSHA irudi nyuma kimaendeleo kwa SIASA za ovyo ovyo za LEMA wanywa viroba wenzake.
chama kilichokosa muelekeo!udini,ukabila nk
wangemng'oa pumbu kabsa!!hicho ni kiereere chake,haya jion watoto wanamsubir apeleke chakula
chadema wamepeleka majina ya waliowapiga, polisi hawakuwakamata, Red Brigade wakaenda kumkamata rpc akasema kwanini chadema wameenda kuwakamata, lema anasema katiba ya jamhuri inaruhusu kila mtu kumkamata mhalifu na ndicho chadema walichofanya...
siku yakikukuta ndio utajua namna ya kupost bila matusiwangemng'oa pumbu kabsa!!hicho ni kiereere chake,haya jion watoto wanamsubir apeleke chakula