Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,594
Ally Bananga ni mwanasiasa wa hovyo zaidi kwa wakati huu hapa nchini. Baada ya Dk Slaa kukamatwa kwa tuhuma za Uhaini Ally Bananga kupitia akaunti yake ya Instagram alianza kutoa hukumu na kumkashifu sana Dk Slaa ikiwemo kuweka videos zake ambazo kiuhalisia hazikua na maana yoyote kwa wakati huu.
Ally Bananga hana uelewa wowote na Sheria, Siasa, Diplomasia ila ni bingwa kwenye kubwabwaja ujinga na upumbavu.CCM na UVCCM kama huyu ndio kiongozi wenu kuna siku waasisi wa TANU watafufuka na kuwachoma Moto
Ally Bananga hana uelewa wowote na Sheria, Siasa, Diplomasia ila ni bingwa kwenye kubwabwaja ujinga na upumbavu.CCM na UVCCM kama huyu ndio kiongozi wenu kuna siku waasisi wa TANU watafufuka na kuwachoma Moto