bona
JF-Expert Member
- Nov 6, 2009
- 3,798
- 1,435
bora enzi za hawa mababu zetu pamoja na kuingia mikataba mibovu viwanda na miundombinu vilijengwa na processign industry pia walijenga hata system ya elimu waliianzisha, sasa hawa wasomi uchwara wa sasa wao hata kitu hakiachwi, wanavuna kila kitu! kuku na mayai, na visomi vyetu uchwara vinawafagilia tena na heshima wanapewa eti wawekezaji!