aliyeuza nchi kwa Karl Peters 1884, huyu hapa

Jamani, mbona kuna machifu wengine walipigana kiume na hao hao Wajerumani kama vile Mkwawa, Mirambo na yule wa Vita vya Maji Maji? Huyu wa Mbwela wa Wazihua alikuwa fisadi tu, kama hawa wengine tunao siku hizi.

Zak Malang umesema.

Ngambo Ngali,

Unaona mtu anayeweza kusema bila fake modesty na kuwa wishy washy huyo? Simaanishi kwamba namuunga mkono Zak Malang, lakini mtu ukimsoma angalau unajua anasimama wapi, yeye anafikiri kwa sababu kuna machifu wengine hawajasaini mikataba na wamepigana na Wajerumani, basi huyu Chifu hata kama alikuwa hajui kusoma alikuwa msaliti tu.

Mtu yupo clear huyo, anachukua msimamo sehemu moja, hata kama hukubaliani naye unamuelewa.

Sio Ngambo Ngali anatuletea u polictician, kichwa cha thread kinamshutumu chifu kauza nchi, thread yenyewe iko apologetic eti ooh chifu hakujua alichofanya, tuambie moja tuelewe sio unatupa story mbili zinazopingana.
 
Unaona mtu anayeweza kusema bila fake modesty na kuwa wishy washy huyo? Simaanishi kwamba namuunga mkono Zak Malang, lakini mtu
Sio Ngambo Ngali anatuletea u polictician, kichwa cha thread kinamshutumu chifu kauza nchi, thread yenyewe iko apologetic eti ooh chifu hakujua alichofanya, tuambie moja tuelewe sio unatupa story mbili zinazopingana.

Kazi kwelikweli!!
Yote tutasema ila kikubwa nitabaki kuwa... Je hawa wanaoingia mikataba feki leo hii, tena katika dhama hizi za sayansi na tekinolojia wanasumbuliwa na nini...!? Elimu, Maarifa, Uoga, Tamaa, Kutokujiamini au LAANA?
 
Heading ya thread inasema

"aliyeuza nchi kwa Karl Peters 1884, huyu hapa".

Heading ya thread imebeba kashfa nzito. Mtu asiyejua akiona heading hiyo anasema "Yuko wapi huyo mshenzi".

Akija kufungua thread anakuta habari tofauti, kumbe jamaa alikuwa hata hajui deal linaenda vipi.

Sasa heading inasema jamaa kauza nchi, content zinasema jamaa hakujua deal, kipi ni kipi?

Ndiyo maana nikasema hii ni sawa na sensational tabloidism, watu wanaweka heading ya uongo ili tu kupata wasomaji, this is low.

Ongea na Mods ubadilishe heading potofu kama unaona Chifu hakujua deal.

Thanx, a distinction with no difference
 
Zak Malang umesema.

Ngambo Ngali,

Unaona mtu anayeweza kusema bila fake modesty na kuwa wishy washy huyo? Simaanishi kwamba namuunga mkono Zak Malang, lakini mtu ukimsoma angalau unajua anasimama wapi, yeye anafikiri kwa sababu kuna machifu wengine hawajasaini mikataba na wamepigana na Wajerumani, basi huyu Chifu hata kama alikuwa hajui kusoma alikuwa msaliti tu.

Mtu yupo clear huyo, anachukua msimamo sehemu moja, hata kama hukubaliani naye unamuelewa.

Sio Ngambo Ngali anatuletea u polictician, kichwa cha thread kinamshutumu chifu kauza nchi, thread yenyewe iko apologetic eti ooh chifu hakujua alichofanya, tuambie moja tuelewe sio unatupa story mbili zinazopingana.

I really cant get the point, where is the political aspect of the thread, firstly with all your arguments could you suggest the title of the thread, if u do so i would not seriously object. Secondly wapi nimesema kuwa kuwa huyo chief ni msaliti??? Lets be fair and we should not be judgemental.
 
Thanx, a distinction with no difference

This is an oxymoron.

Unaendelea kudhihirisha undumilakuwili wako, yaani on the one hand unakubali kwamba kuna distinction, on the other unakataa na kusema distinction "with no difference". Why am I not surprised? This seems to be a pattern now, you want to have it both ways, kinda like kusema "Aliyeiuza nchi kwa Karl Peters 1884, huyu hapa" halafu kugeuza kibao ndani ya thread kusema alisaini mikataba bila kuielewa kwa hiyo hakuuza nchi after all.

Mazee hii ni pattern? Manake kama mara moja tungeweza kusema umepitiwa, na ungeomba radhi hivyo tungekuelewa, lakini unaendelea kutetea undumilakuwili huu kwa kuleta undumilakuwili mwingine na kusema "a distinction with no difference".

Unazidi kujionyesha u ndumilakuwili na upolitician wako.
 
I really cant get the point, where is the political aspect of the thread, firstly with all your arguments could you suggest the title of the thread, if u do so i would not seriously object. Secondly wapi nimesema kuwa kuwa huyo chief ni msaliti??? Lets be fair and we should not be judgemental.

Inaonyesha husomi ninachoandika.

Mbona alternate heading ya thread nishakupa kwenye post yangu moja hapo juu?

Halafu unajichanganya, tayari ushajua kwamba umechemka kwenye heading ya thread, kitu ambacho mtu yeyote atakayesoma hii thread atakiona kwanza kabla ya kufungua thread (very central), kwa hiyo unaomba alternate heading urekebishe, unajua umeshaharibu hapo.

Halafu unakuja with all seriousness, macho meupe kabisa, unauliza ni wapi umesema huyu chifu msaliti, are you for real? Unaweza kusoma heading ya thread yako mwenyewe? "Aliyeuza nchi kwa Karl Peters 1884 huyu hapa". Kuuza nchi si usaliti? Utakataaje kwamba hujampa label ya usaliti huyu chief?

Upolitician unakuja pale mtu anapotaka kusema kitu with the proverbial "both sides of his mouth". Undumilakuwili.

Hapo hapo unasema huyu Chifu kauza nchi, halafu hapo hapo unamtetea kwamba hawezi kuwa ameuza nchi kwa sababu hata mkataba wenyewe wa kuuza nchi alikuwa hauelewi na concept nzima ya kuuza nchi kwa kusaini karatasi ilikuwa ngeni kwetu.

Which is which now, unasema kauza nchi kama heading ya thread inavyodai au unasema hajauza nchi na mkataba ni feki kama body inavyodai? Na kwa nini unawapa watu hamasa ya kumuona "aliyeuza nchi" kwa heading kubwa, halafu watu wakifungua wamuone aliyeuza nchi wanaambiwa hakuuza nchi, alidanganywa tu?
 
kumbe tradition ya kusign mikataba mibovu ni ya siku nyingi sana hapa tz!
its a long tradition na ndio mana wala haisumbui, mkataba ukifeli, tunasign mwingine, people dnt want to thnk in ths country, kazi kwelikweli,
 
A lot of fault finding..This is sooo bitchy..lol

Lets vote, who is the biggest GRAND BITCH in JF?

Vote? Anyone?
 
Back
Top Bottom