Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,878
- 26,593
Siku hizi sisikii tena eti oh amenunuliwa sijui nini. Sikio la kufa halisikii dawa.
Kuna majimbo hata wasipoungana na ACT ,Chadema lazima ishinde Arusha,Hai,Mbeya Mjini,Tarime etc
Yes MEMBE ni Mtaji kwasasa!! Naunga mkono hoja.
Kila mtu ale shavu lake kwa nafasj yake.yeye sio mimi na mimi sio wewe.Na nyie mnasugua bench tu kushangilia wahamiaji haramu wakila shavu.
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki kupitia Chadema, Joshua Nassari na mbunge wa sasa wa Karatu,
Willy Qulwi Qambalo wameondoka rasmi ndani ya chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Wamepokelewa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa pamoja na viongozi wengine wa Chama mkoa wa Arusha.
Nasari amekishukuru CHADEMA kwa kumlea tangia akiwa mdogo na sasa ameamua kutumikia nchi yake na sina nia ya kugombea nafasi yoyote, kilichopo mbele yake ni kumsaidia Rais John Magufuli.
View attachment 1500768
Joshua Nassari akiwa anaingia kwenye Ofisi za CCM
View attachment 1500769
Hivi hakuna vijana wadogo waliohama kutoka CCM na kwenda CHADEMA? na hao mliwaita Malaya?Kijana mdogo unakuwa malaya wa kisiasa. Asahau heshima aliyokuwa nayo hapo kabla.
Wacha aende ccm kuliko na manyangumi na mapapa
Wakati wote kuna maisha baada ya siasa na hasa hizi siasa za vyama.
Kwa vijana waliooa hivi karibuni na degree zao ndio hizi za sindimba na lugha ni vema wakawa makini na mustakabali wao wa kisiasa watazitesa familia zao bure.
Upinzani ni kama ngazi ya kufikia siasa za viwango ili uweze kusajiliwa CCM, lakini upinzani haukupi uhakika wa kile unachokitafuta kwa sababu hakipo.
Maendeleo hayana vyama!
Huyu umuhimu wake ulifubaa alivyo acha ubunge mwenyewe.CDM kila siku watu muhimu wanaikimbia..