Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Kwani kosa kuunga juhudi za maendeleo ya taifa lake!Hasira au mshangao?!
Kama aina ya wahamaji ndio wavulana kama huyo bora muwachukue tena haraka sana, I swear nimekadharau balaa.
Kwani kosa kuunga juhudi za maendeleo ya taifa lake!Hasira au mshangao?!
Kama aina ya wahamaji ndio wavulana kama huyo bora muwachukue tena haraka sana, I swear nimekadharau balaa.
Juhudi gani wewe, mwenyewe aliona aibu kusema hiyo habari yenu ya juhudi ndio maana akaibuka na style yake ya kitoto zaidi, ili ajaribu kujitofautisha na vibuyu wenzie.Kwani kosa kuunga juhudi za maendeleo ya taifa lake!
Hiyo picha hapo juu ni ya cku nyingi hajajiunga bhana ni uzushi tuJuhudi gani wewe, mwenyewe aliona aibu kusema hiyo habari yenu ya juhudi ndio maana akaibuka na style yake ya kitoto zaidi.
Unamaanisha ile ya diocese au kuna nyingine tena???Viva Mbowe nikikumbuka ukisema ya Nassar tumwachie mwenyewe sawa huyu Mmeru keshaaondoka zake.
Nakumbuka ile vita ya Wameru na kanisa walivyo................ naishia hapo
Tulia kajiunga huyo, vyanzo vyangu vinanijuza, that boy is so insecure I never thought!.Hiyo picha hapo juu ni ya cku nyingi...hajajiunga bhana ni uzushi tu
Nassary mwenyewe ajitokeze kukanusha hizi tetesi maana zimekuwa kero kwa wengine.Hiyo picha hapo juu ni ya cku nyingi...hajajiunga bhana ni uzushi tu
Jaribu kuulizia vzr mkuu...jamaa naamini wanatuchezesha akili tu...mbona walioko arumeru wanapinga kuwa c kweli??Tulia kajiunga huyo, vyanzo vyangu vinanijuza, that boy is so insecure I never thought!.
Huyo dogo sio wa kumuamini hata chembe, Hawa watu wanadhalilisha sana wanaume kwa ujumla.Nassary mwenyewe ajitokeze kukanusha hizi tetesi maana zimekuwa kero kwa wengine.
Kama amehama chama si atangaze wazi wazi badala ya kuvizia vizia kama binti anayeliwa kwa mara ya kwanza!!!
Siasa hazifanyikii chumbani ni overt operations
Kwanini hutaki kuamini, hapo chini ndio kapewa mic anaanza kutema pumba za kuhama Chadema, wakati ukweli alitongozwa akakubali kutoa mwenyewe.Jaribu kuulizia vzr mkuu...jamaa naamini wanatuchezesha akili tu...mbona walioko arumeru wanapinga kuwa c kweli??
Sasa ndio nimeamini, kumbe ile strategy yake ya kuwa mtoro bungeni ilikuwa "project" waliyoitengeneza ili akimbie Chadema.
Nilidhani kajamaa kameishia tu kuwa na sura ya kitoto, kumbe mpaka akili, binafsi nilimshangaa sana kwa lile kosa la kitoto alilofanya wakati ule, kumbe alitumwa..