Embu tujiulize maswali haya;
Endapo kama Nyerere angelikua mdini
1. Angetaifisha mali mbalimbali za mashirika ya kidini ya kuruhusu yatumike kwa watu wote bila kujali dini!?
2. Angei put Zanzibar under Tanganyikas' wings??
3. Angekubali kumkabidhi nchi Ally Hassan Mwinyi???
Fikiria!!
Usimtegemee Profkobayashi au watu wenye mtazamo kama wake wafikirie, wanachojua wao ni ubishi, uzushi, udanganyifu, usingiziaji na upoteshaji wa ukweli. |Kujadiliana nao ni kama kumpigia mbwa kengele, don't waste your precious time.