Izz JF-Expert Member Oct 15, 2010 750 318 Sep 27, 2012 #1 Nimekutana na mada hiyo kwenye daladala watu wakiulizana, aliegundua NGAZI alikua mrefu au mfupi?
P PhD JF-Expert Member Jul 15, 2009 4,599 3,673 Sep 27, 2012 #2 Kaamuulize zoka na Rama wanaowatoa meno wenzao bila ganzi
Tripo9 JF-Expert Member Sep 9, 2009 4,352 3,533 Sep 27, 2012 #3 PhD said: Kaamuulize zoka na Rama wanaowatoa meno wenzao bila ganzi Click to expand... pfuuuuuu...majib mengine bana
PhD said: Kaamuulize zoka na Rama wanaowatoa meno wenzao bila ganzi Click to expand... pfuuuuuu...majib mengine bana
Gama JF-Expert Member Jan 9, 2010 13,266 4,716 Sep 27, 2012 #5 Tripo9 said: pfuuuuuu...majib mengine bana Click to expand... ngazi anafikiri "ganzi", nadhani haya ni madhara ya "valuuuuuuuuuu"
Tripo9 said: pfuuuuuu...majib mengine bana Click to expand... ngazi anafikiri "ganzi", nadhani haya ni madhara ya "valuuuuuuuuuu"
Tripo9 JF-Expert Member Sep 9, 2009 4,352 3,533 Sep 27, 2012 #7 Gama said: ngazi anafikiri "ganzi", nadhani haya ni madhara ya "valuuuuuuuuuu" Click to expand... Ana papara
Gama said: ngazi anafikiri "ganzi", nadhani haya ni madhara ya "valuuuuuuuuuu" Click to expand... Ana papara
Mlaleo JF-Expert Member Oct 11, 2011 13,387 9,755 Sep 28, 2012 #8 Gama said: ngazi anafikiri "ganzi", nadhani haya ni madhara ya "valuuuuuuuuuu" Click to expand... itakuwa Kiroba
Gama said: ngazi anafikiri "ganzi", nadhani haya ni madhara ya "valuuuuuuuuuu" Click to expand... itakuwa Kiroba
HIMARS JF-Expert Member Jan 23, 2012 69,364 94,545 Oct 10, 2012 #12 Hahah ngazi ilitengenezwa ilikufikia pasipofika kwani wapo warefu wasiofikia sehemu fulani Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Hahah ngazi ilitengenezwa ilikufikia pasipofika kwani wapo warefu wasiofikia sehemu fulani Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Zamaulid JF-Expert Member May 25, 2009 18,656 13,481 Oct 10, 2012 #13 huo mjadala uliishaje huko kwenye daladala!!
nxon JF-Expert Member Jul 16, 2011 1,162 406 Oct 10, 2012 #15 ZAKAYO ndiye aliegundua ngazi ili amuone YESU.
sijui nini JF-Expert Member Sep 29, 2010 2,553 1,285 Oct 11, 2012 #16 kwani kipimo cha mtu mrefu au mfupi ni nini..??maana unaweza ukajiona mrefu kumbe...:spy::spy::spy: