Ndukidi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,498
- 1,297
Siku zote za uhalifu asitubu aje atubu leo?
Tukio lenyewe linavyovuta hisia za watu halafu
eti wamempeleka kwa siri mahakamani.
Hivi kova haoni aibu kudanganya?Mbona mpango
wao huu ulishawekwa wazi hapa Jf?Hawakuwa na
mbinu mbadala?
Gangster alisikia uchungu sana baada ya kuangalia kwenye TV, kwa jinsi alivyoguswa na tukio lile, akaona ni afadhali aende kwa Gwajima akatubu, si unajua tena!!! Alifuata nyota iliyomuelekeza kwa Gwajima..... halafu na conclude hii yote ni sababu ya Freemason!!