Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Mkuu nimekusoma, si unaona hata picha ime-cover half the height of the house?Nyumba kama hii ukisimama kwa nje unakuwa unaizidi urefu. Kwa hiyo huwa zina basement floor. Yaani unaingia kwa kupinda mgongo, then ukishakudumbukia ndiyo inakuwa inakuzidi urefu. Zipo nyingi sana maeneo ya Dodoma, Makao Makuu ya Tanzania (kwa mujibu wa Ramani ya Africa).
Watanzania Amkeni jamani!! Kwa nini munakubali kuwa masikini wa fikra???