Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,996
Kweli jamaa anaongea anachokijua. Kwa maisha kama haya halafu unabandika bango hilo sizani kama utachukia ukiambiwa kuwa una akiri za nyani
Policy za UN za kutaka watu wasome ni pigo kubwa sana kwa CCM. They really hate it although hawana jinsi inabidi watekeleze kwa shingo upande.