Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,841
- 38,736
Mchambuzi wa masuala ya kabumbu Alex Ngereza ametia neno kuhusu kambi ya Simba walikoweka Zanzibar:-
"Sijaona sababu ya Simba kwenda kuweka kambi Zanzibar kwasababu zimebaki siku chache kuelekea mchezo dhidi ya Al ahly lakini pia wapo baadhi ya wachezaji muhimu hawapo wameenda kuzitumikia timu zao za taifa kwahio kwenda Zanzibar hakuna faida yoyote kwa Simba zaidi wanaenda kupoteza tu fedha" Alex Ngereza, Mchambuzi wa Soka.
"Sijaona sababu ya Simba kwenda kuweka kambi Zanzibar kwasababu zimebaki siku chache kuelekea mchezo dhidi ya Al ahly lakini pia wapo baadhi ya wachezaji muhimu hawapo wameenda kuzitumikia timu zao za taifa kwahio kwenda Zanzibar hakuna faida yoyote kwa Simba zaidi wanaenda kupoteza tu fedha" Alex Ngereza, Mchambuzi wa Soka.