Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,164
Kuna habari zimezagaa kuwa Al-Shabaab wana mpango wa kulipua katika mechi ya Simba na Yanga kesho. Naomba muwe waangalifu sana kama itawalazimu kwenda kuangalia mchezo huo lakini ushauri ni kuacha kwenda kwenye mechi hiyo kabisa. Hizi ni habari za ndani sana hivyo source haiwezi kuwekwa hapa.