Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
Kila mtanzania na awe mlinzi, taarifa zozote zenye viashiria vya hatari tujulishe vyombo vyetu vya ulinzi haraka iwezekanavyo.
Mungu ibariki Tanzania
Mkuu m-mekataza mikusanyiko, sasa vp hapo kesho?mbona unataka kukwepa intelegensia yako??au hao al-shabab wapo kwa dowansi tu??