Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
- Thread starter
- #81
Ulishawahi fanyiwa hiyo ultra sound??
Ni kweli unachosema, hao madaktari unao wasema wanakuwa na nia ya kutibu na ndio maana hawaiti wagonjwa gesti house ila huyu wa kuita wanawake gesti house na kuanza kuwachezea ikulu zao kwa ulimi, mie napata mashaka 100% ujue kifaaa na ulimi vinalegeza kwa speed tofauti mkuu, nadhani huyo mdada angetumalizia tu story