Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
- Thread starter
- #41
Dah, sasa tukimbilie wapi sijui
Ila kitu kikubwa nachoona kinatuponza wamama wengi ni kuwa 'desperate' kwa matatizo ambayo ni ya kawaida kabisa katika maisha
Au kutojiamini na maamuzi yako mwenyewe. Unakuta mtu kaenda kwa mganga mfano halafu ukimuuliza anasema alishawishiwa na mashoga zake. Huwa naboreka sana na jibu la aina hii, naona bora mtu aseme "niliona ndio suluhisho la wakati huo" kuliko kushawisjiwa.
Kuhusu mchungaji, nakufuata PM aisee, umbea utaniua
Ila kitu kikubwa nachoona kinatuponza wamama wengi ni kuwa 'desperate' kwa matatizo ambayo ni ya kawaida kabisa katika maisha
Au kutojiamini na maamuzi yako mwenyewe. Unakuta mtu kaenda kwa mganga mfano halafu ukimuuliza anasema alishawishiwa na mashoga zake. Huwa naboreka sana na jibu la aina hii, naona bora mtu aseme "niliona ndio suluhisho la wakati huo" kuliko kushawisjiwa.
Kuhusu mchungaji, nakufuata PM aisee, umbea utaniua
Kuna mmoja mi nliambiwa anazaa na wake za watu wale wanaotaka watoto.
Si unajua tena mnaweza mkawa hamna watoto kumbe mume ndo inshu...
Basi anakutana nao kwenye three stars sijuhi five stars hotel...jina kapuni;
Anawabaka...
Mmoja alitoa siri akamwambia mumewe...
Mimi haya makanisa...hawajanipata bado!
Afu watu wamejazana kumsikiliza mtu mwenye mikashfa kibao...sijuhi nao wamelogwa...????