Wadau nimewahi kupost uzi wangu wa kutafuta mke hapa bila kuweka vigezo ila hadi sasa hakuna mafanikio yoyote.Sasa kwa mamlaka ya hisia zangu na moyo wangu naomba nirudie tena na nitangaze nia yangu kwa mara nyingine.Mimi umri wangu ni miaka 30 na ninatafuta mke mwenye sifa zifuatazo
1.Awe mkristo mcha mungu na mwenye hofu ya mungu
2.Ajitambue kuwa yeye ni mama mtarajiwa na sio sista duu wa mjini
3.Awe na miaka 22 hadi 28
4.Awe mfanyakazi isiwe kazi za kusafiri safiri kila siku kama auditing au sales and promotion teams
5.Awe tayari kuolewa bila sherehe kubwa ila tartibu zote zitafuatwa
6.Awe mrefu kiasi,yaani asiwe mfupi,awe mzuri kisura,kitabia na kiumbo.Mambo mengine yote yaliyobaki ni ya kawaida tu na yanajadilika
kwa yeyote alieko tayari tafadhali naomba niinbox moja kwa moja na naomba ikiwezekana jieleze kidogo na hii nafasi ni kwa wote walio ndani ya nchi na nje ya nchi.
1.Awe mkristo mcha mungu na mwenye hofu ya mungu
2.Ajitambue kuwa yeye ni mama mtarajiwa na sio sista duu wa mjini
3.Awe na miaka 22 hadi 28
4.Awe mfanyakazi isiwe kazi za kusafiri safiri kila siku kama auditing au sales and promotion teams
5.Awe tayari kuolewa bila sherehe kubwa ila tartibu zote zitafuatwa
6.Awe mrefu kiasi,yaani asiwe mfupi,awe mzuri kisura,kitabia na kiumbo.Mambo mengine yote yaliyobaki ni ya kawaida tu na yanajadilika
kwa yeyote alieko tayari tafadhali naomba niinbox moja kwa moja na naomba ikiwezekana jieleze kidogo na hii nafasi ni kwa wote walio ndani ya nchi na nje ya nchi.