NN unahitaji maombi, tena ya nguvu maana huyo shetani wako siyo mchezo.................. cha kutuvua nguo wake za wenzako................ ushindwe na ulegee
Mh inaelekea preta unajua mavituz mh:smile:
NN unahitaji maombi, tena ya nguvu maana huyo shetani wako siyo mchezo.................. cha kutuvua nguo wake za wenzako................ ushindwe na ulegee
Preta hizi kesi juu yako mbona zimekuwa nyingi siku za hivi karibuni?
karibu nyumbani nitakupikia kuku
3D chinja taratibu....
heee.....mbona hiyo iko sana.....hata sisi huwa tunaangalia hivyo hivyo ila kimachale siyo kodokodo kama wanaume
Mh inaelekea preta unajua mavituz mh:smile:
kweli sisi wanaume fasta sana. fikiria kuna dada mmoja kwenye sijui ni signature au nini kaandika tengo miedo sijui maana yake lkn hata nikitembea barabarani natamka tu kwa sauti ya wastani TENGO MIEDO. nikimwona dada mzurii huwa nawaza huyu ndo first lady wa jf au preta au maria roza au ndo WOS yaani full kuchanganyikiwa . huyu aliyeandika tengo miedo basi pale kwenye location yake kaandika yupo YAEDA CHINI Arusha basi nna hamu na shauku kufika yaeda chini nipaone dah sisi wanaume km ni ndoto tu mungu katujaalia hahaa
Preta unanitafuta? ..niko huku Masai camp ..........karibu tupate valuer kwanza ....!mimi nikikuona nitakuwa nawaza jinsi nitalala kifuani kwako (kwa tunaopenda vifua) na jinsi utafanya hayo yote uliyooroesha na kikubwa zaidi ni jinsi utanipa shughuli pevu.....
..........ulikuwa unasema??.......sorry mambo ya Rusia ni yapi?
FP ni kwamba NN anahitaji kupongezwa kwa uwazi wake. Wengi wa wanaume wako kama yeye tofauti tu ni kwamba wanaficha kwa kuogopa akina FP watawakattaa au kuwatukana. Vinginevyo suala la hisia kwa wanaume ni kitu cha kawaida sana. Si ajabu ukakutana na NN live ukashangaa alivyo mpole, hawezi kuongea na zaidi anang'ata tu vidole vyake......... kwa aibu. Haya mambo bwana acha tu.
Mimi nadhani nina matatizo maana hata wale wanaojitambulisha kama wadada humu, mfano wewe, Katerelo, Preta, na wengine huwaga nawawaza kimapenzi....yaani huwaga nawavua nguo kabisa!!!
mmh sipati picha NN ana anaona aibu tena anang'ata vidole hehehehehe
Jaman jaman jaman amakwel uclolijua lazma lkusumbue mi niljarbu kkuta na demu 2liekua 2nachat nae bonge la sauti tamuu lo kujamwona live kimbembe