Akina NN ujanja tu wa maneno. Unaweza ukamkubalia muonane halafu akaogopa matokeo yake akamtuma rafiki yake amwakilishe. Huu ujajnja wa kwenye kompyuta ni tofauti na live.
unachosema kweli niliwahi kutingoza demu kwenye cm.mapaka yakaiva ila siku tuliyokutana ilikua noma sana maana kwanza alikuwa rasta pili yeye mwenyewe aligundua siyo type yangu na mimi siyo type yake ikabidi tuwe marafiki wa kawaida