Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,001
- 112,650
mmmmh....sasa sisi hutuoni ni hivyo je kwa wale unaowaona live inakuwaje?......NN unatisha ujue
Wee acha tu!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmmmh....sasa sisi hutuoni ni hivyo je kwa wale unaowaona live inakuwaje?......NN unatisha ujue
Ha ha ha, Oh boy you're something!.Mimi nadhani nina matatizo maana hata wale wanaojitambulisha kama wadada humu, mfano wewe, Katerelo, Preta, na wengine huwaga nawawaza kimapenzi....yaani huwaga nawavua nguo kabisa!!!
3D, upo sawa kabisa.............. sisi wadada siyo kama wakaka. nadhani tumepishana kwa sana tu. mtu unaweza kumwazia mkaka hivyo kama una-angalau feelings naye, na siyo kila mkaka anayepita njiani
mmmmh....sasa sisi hutuoni ni hivyo je kwa wale unaowaona live inakuwaje?......NN unatisha ujue
Mimi nadhani nina matatizo maana hata wale wanaojitambulisha kama wadada humu, mfano wewe, Katerelo, Preta, na wengine huwaga nawawaza kimapenzi....yaani huwaga nawavua nguo kabisa!!!
Mkuu NN, huna matatizo. Wengi wako (nafanya unafiki kutosema "tuko") hivyo ila hawasemi. Ila ni vizuri kujaribu kuipunguza sana hali hii.
Hivi kwa upande wa akina dada inatokea na wao wakamtazama kijana na kumtamani kimapenzi kama wanaume itutokeapo?Mfano unaona makalio au mguu au kifua ukastukia mwili unasisimkwa,je na akina dada nao huwatokea?
Niliogopa kumsema NN aliposema kuwa "Uwazi wako unanivutia." Mi nilishajua anakoelekea. Mwanamke muwazi anamvuta sana mwanamme. Mwanamme anaamini msichana wa namna hii hana aibu. Mkiingia kwenye sex basi ni kubadili pozi bila aibu na........... (msinifanye nikamwaga radhi hapa). Preta umesahau jana kuna Mkuu fulani katika jukwaa hili alianza kukubananisha wakati mjadala unaendelea? In short sex kwa wanaume ni kitu cha kwanza.
Hii hali inapunguzikaje sasa? Maana kwangu mimi inakuja tu yenyewe (naturally) na wala si kwamba najilazimisha kufikiria hivyo. Yaani tena huyu Preta huyu na vijineno vyake hivyo ndo looooh!!!! Mtu ukimpata utamfaudu sana....khekhekheeeeeee....(just my imagination)
Hii hali inapunguzikaje sasa? Maana kwangu mimi inakuja tu yenyewe (naturally) na wala si kwamba najilazimisha kufikiria hivyo. Yaani tena huyu Preta huyu na vijineno vyake hivyo ndo looooh!!!! Mtu ukimpata utamfaudu sana....khekhekheeeeeee....(just my imagination)
Inazungumzika. Ni kwamba kichwani kwako una sura na maumbile ya mwanamke kwa namna unavyovutiwa nao. Akitokea unknown kama Preta akasema vineno vya rusha roho hapo hapo unaconnect na picha uliyonayo kichwani. Si ajabu ukimwona live mzuka unashuka fasta (unaweza ukakuta ana bonge la kitambi!) Ooh Preta I'm just saying barbie.
Wasichana wenye vimanemaneno kama Preta hawana tabia za aibu, ukimwambia ........... ana .............. Hakuna kulala kama gogo. Kwanza ukiwa umezubaa anakuvamia fasta, anakufungua vishikizo vya shati, we unapiga kelele "taratibu utachana shati" yeye hajali. Unaweza shangaa akakusukuma ukaanngukia kochini, atakushusha zipu, atakukalia juu (ye bado hajavua ukumbuke). Kisha......... Sasa ukiweka mawazo kama haya ni lazima urushwe roho.
:confused2:
Wasichana wenye vimanemaneno kama Preta hawana tabia za aibu, ukimwambia ........... ana .............. Hakuna kulala kama gogo. Kwanza ukiwa umezubaa anakuvamia fasta, anakufungua vishikizo vya shati, we unapiga kelele "taratibu utachana shati" yeye hajali. Unaweza shangaa akakusukuma ukaanngukia kochini, atakushusha zipu, atakukalia juu (ye bado hajavua ukumbuke). Kisha......... Sasa ukiweka mawazo kama haya ni lazima urushwe roho.
Samahani kama nimekukwaza....
Nahisi kama Preta naye yuko hivyo....
Samahani kama nimekukwaza....
Preta naamini yuko hivyo pamoja na wadad wengine wengi humu. Unajua wadada ambao wanatumia kompyuta si wengi TZ. Ukikuta wanoijua basi ujue wameadvane kwa namna kubwa na huwa wana social freedom fulani. Watasoma mitandao kadhaa kuhusu love and sex na pia wanatazama sinema za ulaya (kwa sababu wanazielewa) na zinawafundisha mengi. Ila wadada wa namna hii wana ka-gharama kidogo. Kwanza wanapenda wanaume intelligent au maarufu au wenye angalau uwezo fulani wa fedha na elimu. Pia wanapenda wanaume ambao aidha ni wasafi au wana pesa japo kidogo. Wanawake wa namna hii ni rahisi kugombana nao hasa kama una vitabia vya kibabe (baadhi ya wanaume wanadhani ndo ujanja). Wanawake kama hawa wakikubipu kwa voda kama namba yako ni tigo usibadili line, we piga tu. In short vitu vizuri vina status thus gharama pia.
3D chinja taratibu....