Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kweli kiongozi wa ngazi za juu wa chama unashindwa kutumia lugha ya staa kuwasilisha jambo lako?
Hakika ndani ya ccm unaweza kusema lolote na ukapigiwa makofi na vigelegele.
Msikilizeni huyu mama Chatanda anavyo mwaga upupu wake jukwaani ndiyo mtanielewa.
Hakika ndani ya ccm unaweza kusema lolote na ukapigiwa makofi na vigelegele.
Msikilizeni huyu mama Chatanda anavyo mwaga upupu wake jukwaani ndiyo mtanielewa.