kiye
Senior Member
- Apr 28, 2012
- 117
- 24
Jamani msaada, Nimeshindwa kupokelewa katika halimashauri fulani (jina nalihifadhi) kisa sina transcript nami nina provisional results ambayo ina matokeo yoote mpaka Overall GPA.
Wakati halmashauri nyingine zinachukua hata wenye carry over. Jamani nichukue hatua gani nami nahitaji kazi?
Wakati halmashauri nyingine zinachukua hata wenye carry over. Jamani nichukue hatua gani nami nahitaji kazi?