yaaaani, wewe inaonekana.... elimu yako haijakusaidia sana, time uliyotumia kuja kupost na kuliza hapa si ungeenda kwenye tandao ukaone kama majina hayo yapo au hayapo, pole just experience the situation subject to life challenge!!
Aksante isaack na hongera kwa kulijua hilo, issue c kuangalia kwenye mtandao tu kuna watu wa info kuliko unavyodhani! nikupe pole kwa kudhani kila kitu kinapatikana kwenye mtandao, kinapofika kwenye mtandao wenzio tayari wanjua kila kitu.
pole mwandishi... nimekuelewa though bado yaelekea, hukunielewa vema, may critics ni hapo unapo uliza kama yametoka mtandaoni, wakati huo huo upo mtandaoni. kukusaidia ungeuliza hivi:" post za ualimu zimetoka, au lini zitarushwa kwenye mtandao"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.