Ajira za ualimu lini mwenye fununu.

Mwaka huu mapema uwenda tarehe ya kuanzia 20 wakatoa Hila miaka mingi wanatangazaga mwezi wa tatu hivi
Nina ndugu yangu tangu 2019 hajapata hizi ajira za ualimu kwa ulicho kiandika siku mbili hizi zilizopita na alicho sema waziri leo inaonyesha kabisa hauko mbali na jiko kwa iyo connection yako ni muhimu ili kumfanikishia huyu ndugu yangu ndio jicho la familia kwao.
 
Nina ndugu yangu tangu 2019 hajapata hizi ajira za ualimu kwa ulicho kiandika siku mbili hizi zilizopita na alicho sema waziri leo inaonyesha kabisa hauko mbali na jiko kwa iyo connection yako ni muhimu ili kumfanikishia huyu ndugu yangu ndio jicho la familia kwao.
Atapata TU ni suala la muda mungu ni mwema, mungu utoa kwa amtakaye na Kwa wakati wake🙏
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom