Nenda ofisi za beforwardHabari Ndugu
Je Kuna MTU alishawahi kuagiza Gari toka Kwa Hawa wanaojiita maajenti wa Beforward, lakini wengi wao ni watu toka Pakistan?
Je waaminifu ? au matapeli tu?
Mmoja kunitumia hiyo email haseemkhan41@gmail.comMara nyingi ukiwa unachat na agents wa Beforward, unachat na Mtanzania au hao wa Pakistani, India etc.
Akwea ufupi, Wajapan ni smart sana, wali outsource customer care kutoka nchi zenye cheap labor.
Siwezi sema kama hao ni matapeli au wa ukweli, kwasababu sijaona email address yao.
Huyu anakunyoosha mkuuMmoja kunitumia hiyo email haseemkhan41@gmail.com
Chonde chonde, utaliwa Fedha zako, hao NI Yahoo Boys from Nigeria...don't be trappedHabari Ndugu
Je Kuna MTU alishawahi kuagiza Gari toka Kwa Hawa wanaojiita maajenti wa Beforward, lakini wengi wao ni watu toka Pakistan?
Je waaminifu ? au matapeli tu?
Beforward sijui sbt ni za wapakistan sio wajapaniMara nyingi ukiwa unachat na agents wa Beforward, unachat na Mtanzania au hao wa Pakistani, India etc.
Akwea ufupi, Wajapan ni smart sana, wali outsource customer care kutoka nchi zenye cheap labor.
Siwezi sema kama hao ni matapeli au wa ukweli, kwasababu sijaona email address yao.
Hapa unapigwa boss mala nyingi agents wanatumia emails za domain zao kuwa makini mi naamini beforward wako very formal na sidhani kama una sababu ya kuwasiliana na mtu personal kuna namba na ukitaka kupata namba zao official ingia kwa website yao kisha gusa sehemu ya whatsapp utapata namba zaoMmoja kunitumia hiyo email haseemkhan41@gmail.com
MTUMIE MILLION ZAKO UJE KULIA HAPA..Mmoja kunitumia hiyo email haseemkhan41@gmail.com